1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Istanbul. Waasi wa PKK kukamatwa nchini Iraq.

4 Novemba 2007

Waziri mkuu wa Iraq Nouri al-Maliki ameahidi kuwakamata viongozi wa waasi wa Kikurdi wanaohusika na mashambulizi katika mpaka wa Uturuki wakitokea kaskazini mwa Iraq.

Katika mkutano wa kimataifa wa usalama mjini Istanbul , al-Maliki ameahidi kufunga ofisi za vyama vilivyo na uhusiano na chama cha wafanyakazi wa Kikurdi , cha PKK. Pia ametoa wito kwa mataifa jirani ya nchi hiyo kuimarisha ulinzi katika mipaka yao.

Marekani pia imeahidi kuisaidia Uturuki katika mapambano yake dhidi ya PKK.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW