1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Itifaki ya haki kwa wanawake kuanza kutumika rasmi barani Afrika

14 Februari 2006

Utetezi wa haki za wanawake wapata ushindi mkubwa barani Afrika baada ya viongozi barani humo kuidhinisha mkataba wa Togo juu ya haki za wanawake zitakazo lingana na misingi ya kimataifa.

Wanawake wa Somalia wapinga ukeketwaji
Wanawake wa Somalia wapinga ukeketwajiPicha: dpa
Sikiliza mahojiano ya Zainab Aziz na bi Caroline Agen'go Afisa Mradi wa shirikka lisilo la kiserikali la Equality Now linalo tetea haki za kibinadamu hususan haki za wanawake lililopo mjini Nairobi nchini Kenya.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW