Alipanda miti hata katika ardhi ya jangwa. Kwa sasa miti aliyopanda imetengeneza msitu wenye ukubwa unaozidi viwanja 40 vya kandanda. Fahamu mengi kumhusu Yacouba Sawadogo kutoka Burkina Faso ambaye juhudi zake zimempa Tuzo Mbadala ya Nobel mwaka 2018