1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Janga la corona laathiri manunuzi kwa ajili ya sherehe za Eid ul-Fitr

02:18

This browser does not support the video element.

22 Mei 2020

Tofauti na miaka ya nyuma, mwaka huu mambo ni tofauti kuhusiana na manunuzi kwa ajili ya maandalizi ya sherehe ya Eid ul_fitr mjini Dar es Salaam. Janga la corona limewanyima wauzaji na pia wanunuaji bidhaa raha. Ahmad Juma na maelezo zaidi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW