1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jaribio la kupindua serikali Uganda

Isaac Gamba10 Juni 2016

Watu wasiopungua 30, wakiwemo askari na mbunge mmoja wa upinzani, wanashikiliwa kwa tuhuma za kuandaa njama ya kutaka kuipindua serikali ya Rais Yoweri Museveni, kwa mujibu wa msemaji wa jeshi la Uganda, Paddy Ankunda.

Msemaji wa jeshi la Uganda, Paddy Ankunda
Picha: Getty Images/AFP/S. Price

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW