1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je Kamala anaweza kumshinda Trump katika uchaguzi 2024?

01:58

This browser does not support the video element.

22 Julai 2024

Chama cha Democratic nchini Marekani kimeanza mbio za kumteua atakayepeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi ujao mwezi Novemba baada ya Rais Joe Biden kujiondoa kwenye kinyang'anyiro hicho. Kamala Harris ndiye aliyependekezwa na Biden kuchukua nafasi yake na baadhi wanasema ana nafasi nzuri ya kumshinda Donald Trump.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW