1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, maandamano ndio suluhu ya matatizo yanayoizonga nchi?

03:16

This browser does not support the video element.

18 Julai 2023

Upinzani nchini Kenya umekuwa ukifanya maandamano ya kila wiki kuishinikiza serikali ya Rais William Ruto kupunguza gharama ya maisha. Kiongozi wa muungano wa Azimio Raila Odinga ameeleza kuwa wakati mwingi maandamano hufanyika kwa njia ya amani japo ghasia hutokea wakati polisi inapoingilia kati kwa kurusha gesi ya kutoa machozi.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW