1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je ni kweli uhuru wa kujieleza Tanzania umebinywa?

01:03

This browser does not support the video element.

18 Mei 2018

Askofu wa zamani wa kanisa la Anglikana nchini Tanzania Dkt. Valentino Mokiwa ameelezea kusikitishwa kwake na kile anachokiita kuwa kubinywa kwa uhuru wa kujieleza nchini mwake. Hebu tazama, umsikilize kisha nawe pia utoe maoni yako.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW