Wanawake wa Kigiriama katika pwani ya Kenya huvaa vazi la hando kuongeza unene katika maumbile yao, kwani uzuri wa mwanamke katika jamii za Kiafrika ni kuwa mnene.
Matangazo
Saumu Mwasimba anazungumzia historia, maana na matumizi ya vazi la hando la katika jamii ya Kigiriama, pwani ya Kenya.