1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
UtamaduniAfrika Kusini

Je, unaweza kuchukua jina la ukoo la mke wako?

02:19

This browser does not support the video element.

16 Septemba 2025

Uamuzi wa Mahakama ya Katiba Afrika Kusini kuruhusu wanaume kuchukua majina ya wake zao umeibua mjadala mkubwa. Wanaharakati wa usawa wa kijinsia wameupongeza uamuzi huo kama hatua ya kuvunja mfumo dume na kuleta usawa katika ndoa. Hata hivyo, wafuasi wa mila za jadi wanasema wanaume kuchukua majina ya ukoo ya wake zao ni tishio kwa utambulisho wa ukoo wa kiume, wakihofia kupotea kwa nasaba zao.

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW