1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je vijana wana uelewa tosha na ushiriki kamili kukabili athari za mabadiliko ya tabia nchi?

03:10

This browser does not support the video element.

Veronica Natalis
31 Oktoba 2023

Ulimwengu unapofanya juu chini kukabili athari za mabadiliko ya tabia nchi swali linaloibuka wakati mwingine ni kuhusu uelewa na ushiriki wa vijana. Je wameshirikishwa vya kutosha? Na je mchango wao ni upi? Mwandishi wetu wa Arusha Veronica Natalis anaangazia kauli ya baadhi ya vijana na juhudi zao katika suala hilo zima. Tizama

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW