Kiongozi wa kundi la waasi wa LRA, Joseph Kony, hatimaye amezungumza na mmoja wa wanaharakati wa kutafuta amani Kaskazini mwa Uganda kuhusu majaaliwa ya naibu kiongozi wa kundi la LRA bado hajauawa lakini yuko chini ya ulinzi mkali.
Matangazo
Sikiliza ripoti kamili ya Omar Mutasa kutoka Kampala.