1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

JERUSALEM: Ndege za Kiisraeli zimeshambulia Ukanda wa Gaza

16 Novemba 2006

Vikosi vya anga vya Israel vimefanya mashambulio katika Ukanda wa Gaza,vikilenga nyumba za wanamgambo wa Kipalestina.Hakuna ripoti kuhusu hasara ya maisha iliyosababishwa na mashambulio hayo.Mashahidi wanasema,kabla ya kufanya mashambulio,jeshi la Israel liliwaonya wenye nyumba watoke nje.Mashambulio hayo yamefuatia shambulio la roketi lililofanywa na wanamgambo wa Kipalestina kutoka Gaza.Shambulio hilo lililolenga mji wa Kiisraeli wa Sderot,limemuuawa mwanamke mmoja na wengine watano wamejeruhiwa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW