SiasaUkraine
Ukraine yatangaza kukiteka tena kijiji cha Kusini-Mashariki
12 Juni 2023Matangazo
Mshauri wa Rais Volodymyr Zelenskyy amedai watu sita wamejeruhiwa baada ya askari wa Urusi kuishambulia boti iliyokuwa ya waokozi na kuwajeruhi waru sita. Idadi hiyo ya watu ilikuwa ikitoka katika maeneo ya Ukraine ambayo yanadhibitwa na Urusi katika kipindi hiki ambacho pia kuna shida ya mafuriko katika maeneo hayo.
Urusi na Ukraine kubadilishana wafungwa
Katika hatua nyingine ya siku ya Jumapili Ukraine na Urusi kwa nyakati tofauti zilitoa taarifa ya kubadilishana idadi ya wafungwa wa vita. Urusi ilisema wanajeshi wake 94 waliachiliwa na kwa upande mwingine Waukraine 95 wameachiwa huru.