1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jimbo la Wakurd lashutumu mashambulizi ya Uturuki.

18 Desemba 2007

Sulaimania , Iraq.

Serikali ya jimbo lenye madaraka yake ya ndani la Wakurd nchini Iraq leo imeshutumu mashambulizi ndani ya mpaka wa nchi hiyo yaliyofanywa na majeshi ya Uturuki .

Fouad Hussein , mkuu wa ofisi ya rais wa jimbo hilo la Wakurd Mahmoud barzani , amesema kuwa Uturuki inataka kuhamishia matatizo yake katika jimbo hilo la Iraq. Ameongeza kuwa hafahamu ukumbwa wa jeshi la Uturuki ambalo limevuka mpaka na kuingia nchini Iraq.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW