1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Juhudi za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi Mtwara

03:53

This browser does not support the video element.

14 Novemba 2022

Wanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya Mtwara Ufundi wamebuni mradi wa kilimo cha Bustani Hai ambao una uwezo wa kukabiliana na uchafuzi wa hali ya hewa kinachotumia mifuko aina ya viroba vinavyozalishwa viwandani, mbolea za asili zinazotokana na mabaki ya mimea na mkojo wa sungura ili kuzuia wadudu katika kilimo hicho. #Kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW