Jukumu la kuzuia unyanyasaji wa kijinsia ni la wote
30 Novemba 2012
Katika Maoni kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW, Saumu Mwasimba, anaongoza mjadala kuhusu unyanyasaji wa kijinsia barani Afrika na dhima ya taasisi za kiserikali na kijamii katika kupambana nao.
Mwanamke na maendeleo duni Afrika.Picha: Fatoumata Diabate/Oxfam
Matangazo
Bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini kusikiliza Maoni.