1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jukumu la malezi ni la nani hasa?

02:51

This browser does not support the video element.

26 Januari 2021

Jamii nyingi zinaamini kwamba suala la malezi ya watoto ni la mwanamke na si mwanaume. Je dhana hii unaizungumziaje? Na je wewe mwenyewe unashiriki vipi katika suala la malezi? Kwenye video hii utasikia maoni mbalimbali, itazame kisha nawe nipe maoni yako. #Kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW