Juma Ali Khatib naye ataka kumrithi Karume Zanzibar
13 Oktoba 2010Matangazo
Miongoni mwa vyama hivyo ni kile cha TADEA ambacho hakikuwahi kuwa na muakilishi si katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wala baraza la wawakilishi huko Zanzibar. Safari hii TADEA kimemteua Katibu wake mkuu Bw Juma Ali Khatib kugombea Urais wa Zanzibar. Nimezungumza naye kwa njia ya simu na kwanza anaelezea kwanini wakachukua uamuzi huo katika uchaguzi huu wa 2010.