Kabila aitembelea Congo Brazzaville
4 Juni 2007
Matangazo
Rais Joseph Kabila amewataka wanamgambo wote walioko mashariki mwa nchi yake watue chini silaha na ameahidi kurejesha amani na usalama kabla ya mwaka huu kumalizika. Aliyasema hayo wakati waziara yake ya siku mbili mjini Brazzaville.