1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

KABUL: Mwanajeshi wa NATO auwawa

29 Septemba 2006

Mwanajeshi mmoja wa shirika la NATO ameuwawa leo katika mripuko uliotokea kwenye mkoa wa Kandahar kusini mwa Afghanstan. Jeshi la NATO halijataja jina la mwanajeshi huyo aliyeuwawa.

Afghanistan inakabilwia na machafuklo mabaya zaidi tangu kuangushwa kwa utawala wa Taliban mnamo mwaka wa 2001.

Shirika la NATO lilikubali jana kuchukua mamlaka ya kulind amani katika maeneo yoe ya Afghanistan kuanzia mwezi ujao baada ya Marekani kuahidi kupeleka wanajeshi elfu 12 zaidi kutoka kwa kambi zake zilizo eneo la mashariki kujiunga na kikosi cha NATO.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW