1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

KABUL: Wanajeshi 2 wa NATO wauawa.

7 Juni 2007

Askari wawili wa Majeshi ya NATO wameuawa wakati wa makabiliano kati ya majeshi hayo na wanamgambo kusini mwa Afghanistan:

Taarifa ya majeshi hayo imesema askari hao waliuawa jana katika maeneo tofauti wakati majeshi yakipambana na wanamgambo.

Uraia wa wanajeshi hao haujatangazwa .

Mwaka huu pekee, wanajeshi sabini na tisa wameuawa nchini Afghanistan.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW