1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kagame amtembele Museveni kurekebisha uhusiano

01:20

This browser does not support the video element.

26 Machi 2018

Rais wa Rwanda Paul Kagame amefanya ziara fupi nchini Uganda ambapo amefanya mazungumzo ya faragha na mwenyeji wake rais Yoweri Museveni. Baada ya kikao hicho cha faragha, wawili hao walizungumzia mgogoro wa wakimbizi wa DRC na kuutaka Umoja wa Mataifa kushughulikia hali ya usalama inayozidi kuzoroto mashariki mwa nchi hiyo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW