1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kamala Harris: Uhusiano na Afrika

02:34

This browser does not support the video element.

9 Agosti 2024

Utambulisho wa rangi wa mgombea urais wa Marekani Kamala Harris umerejea tena kwenye vichwa vya habari. Donald Trump, mpinzani wake, alizusha suala hilo kwa kudai Harris anawapotosha wapiga kura kuhusu hilo. Harris anajitambulisha kuwa Mweusi na kitu kingine zaidi ambacho ni cha uhakika ni —uhusiano wake na Afrika.

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Picha: Fathiya Bayusuf/DWPicha: Fathiya Bayusuf/DW

Kurunzi Wanawake

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW