Kamati ya Maadili ya CUF yakana kumuhukumu Mbunge Rashid
28 Desemba 2011Matangazo
Hii imekuja baada ya hapo jana, mmoja wa watuhumiwa hao, mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohammed, kuitwa mbele ya Kamati hiyo, ambayo baadaye aliripotiwa akisema anakataa kuitambua uhalali wake. Amina Abubakar amezungumza na Mkuu wa Idara ya Nidhamu na Maadili ya Kamati hiyo, Abdul Kambaya, juu ya kilichotokea na kitakachotokea hapo baadaye.
Mahojiano: Amina Abubakar/Abdul Kambaya
Mhariri Othman Miraji