1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kamerun na Misri kupambana fainali

8 Februari 2008

KUMASI:

Katika fainali ya kuwania Kombe la Afrika,Misri inayotetea ubingwa wake itapambana na Kamerun siku ya Jumapili mjini Accra.Katika nusu fainali iliyochezwa siku ya Alkhamisi mjini Kumasi,Misri iliipachika Ivory Coast mabao 4-1.

Wakati huo huo Kamerun imejipatia tikti ya kuingia katika fainali baada ya kuwakandika wenyeji Ghana bao 1-0.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW