1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kamishna mkuu wa shirika la wakimbizi la Umoja wa Mataifa akamilisha ziara yake Tanzania

Josephat Nyiro Charo16 Aprili 2010

Ashuhudia zoezi la kupewa uraia wakimbizi wa Burundi ambao wamekuwa wakiishi Tanzania tangu mwaka 1972

Antonio Guterres, mkuu wa shirika la wakimbizi la Umoja wa Mataifa, UNHCRPicha: dpa

Kamishna mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi-UNHCR, Antonio Gutteres, amemaliza ziara yake nchini Tanzania huku akishuhudia zoezi la Tanzania kuwapa uraia zaidi ya wakimbizi laki moja na elfu sitini kutoka nchini Burundi ambao wamekuwa wakiishi Tanzania tangu mwaka 1972.

Mwandishi wetu Christopher Buke aliyefuatana na kamishna huyo ametutumia taarifa ifuatayo.

Mtayarishaji: Christopher Buke

Mpitiaji: Grace Patricia Kabogo

Mhariri: Josephat Charo

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW