1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

KAMPALA: Museveni aligawanya jeshi la Uganda

24 Oktoba 2005

Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda ameligawanya jeshi la nchi hyio, Uganda Peoples Defence Forces, UPDF, katika vikosi mbalimblai vya majeshi ya nchi kavu na angani. Amewateua makamanda wapya wa jeshi katika juhudi za kulifanyia marekebisho ya kisasa jeshi la Uganda.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW