1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kampeni za uchaguzi zaanza nchini Kenya

31 Januari 2013

Nchini Kenya,wakati huu wagombea wakiwa katika kampeni za kunadi sera zao kuelekea uchaguzi mkuu, tayari wagombea wa juu wa kiti cha urais,sambamba na wagombea wenza wamekwisha orodheshwa rasmi katika orodha ya wagombea.

Matayarisho ya uchaguzi nchini Kenya 2013
Matayarisho ya uchaguzi nchini Kenya 2013Picha: James Shimanyula

Jumla ya wagombea wanane watawania kiti cha urais katika uchaguzi huo. Kwa kutaka kujua hali ya mambo ilivyo Sudi Mnette amezungumza na Bobby Munga ambaye ni mchambuzi wa siasa za taifa hilo akiwa mjini Nairobi na kwanza anadokeza hali ilivyokuwa wakati wagombea wawili wakuu wa Urais Uhuru Kenyatta na Raila Odinga walipoidhinishwa na Tume Huru ya Uchaguzi. Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: Sudi Mnette

Mhariri:Mohammed Abdul-Rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW