Maandamano hayo ya kumpinga Rais Joseph Kabila yamesimamishwa kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kuwapa nafasi wanasiasa kupata ufumbuzi wa tofauti zao. Waandaaji wanataka serikali iwaachie wafungwa wa kisiasa.
Picha: Reuters/K. Katombe
Matangazo
J2.19.03.2018 Catholic Church postponds demos - MP3-Stereo