1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kanisa la wenye ulemavu wa kusikia

04:06

This browser does not support the video element.

15 Machi 2021

Ni kanisa la Emmanuel lililopo Buguruni Dar es laam, Tanzania ambalo ni mahsusi kwa wenye ulemavu wakusikia. Nia ni kutoa huduma ya kuabudu kwa kundi hilo ambalo limesahaulika kwenye jamii. Video na Yakub Talib

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW