JamiiAfrikaKanisa la wenye ulemavu wa kusikia04:06This browser does not support the video element.JamiiAfrika15.03.202115 Machi 2021Ni kanisa la Emmanuel lililopo Buguruni Dar es laam, Tanzania ambalo ni mahsusi kwa wenye ulemavu wakusikia. Nia ni kutoa huduma ya kuabudu kwa kundi hilo ambalo limesahaulika kwenye jamii. Video na Yakub TalibNakili kiunganishiMatangazo