1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kansela Scholz azungumzia ziara yake Afrika

02:26

This browser does not support the video element.

25 Mei 2022

Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz amemaliza ziara yake barani Afrika hivi karibuni. Lakini alipohitimisha alipata nafasi ya kuzungumza na DW kwenye mahojiano maalumu. Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Scholz kuzuru Afrika tangu alipoingia madarakani. Hii ni sehemu tu ya mahojiano hayo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW