1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kansela wa Ujerumani afanya ziara ya kwanza barani Afrika

01:24

This browser does not support the video element.

23 Mei 2022

Olaf Scholz ameahidi msaada kwa nchi za Afrika zilizoathiriwa na uhaba wa chakula unaoikumba dunia nzima kutokana na vita vya Ukraine. Kansela wa Ujerumani anafanya ziara yake ya kwanza katika nchi tatu za Afrika tangu alipochukua wadhifa huo wa kansela.#kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW