Migogoro
Kansela Merz kukutana na Trump Ikulu ya Whitehouse
3 Machi 2026
Matangazo
Mazungumzo hayo yaliyokuwa yamepangwa kabla ya vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, yalitazamiwa kujikita katika vita vya Ukraine pamoja na ushirika wa mashaka wa kibiashara kati ya Marekani na Umoja wa Ulaya.
Ujerumani yajitenga na hatua za Marekani na Israel
Licha ya kuwa Ujerumani haihusiki na mashambulizi dhidi ya Iran, Merz ameeleza kuwa anaelewa hatua za kijeshi zilizochukuliwa na Israel na Marekani lakini hakuzikosoa.