1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

KARACHI:45 wafa katika ajali ya ndege

11 Julai 2006

Watu 45 wamekufa katika ajali ya ndege iliyotokea nchini Pakistan. Ndege hiyo ya abiria iliangukia katika mashamba ya nafaka muda mfupi tu baada ya kuanza safari.

Watu waliokuwamo ndani ya ndede hiyo ni pamoja na maafisa wa ngazi za juu wa jeshi na wizara ya sheria.

Inatuhumiwa kuwa hitilafu za ufundi ndizo zilizosababisha ajali hiyo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW