1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Katumbi apatiwa matibabu Afrika Kusini

Elizabeth Shoo24 Mei 2016

Mkuu wa upinzani DRC, Moise Katumbi, yuko Afrika Kusini kwa matibabu, wakati ambapo anatakiwa kujibu mashitaka kortini. Anashutumiwa kuajiri mamluki na kutishia usalama wa taifa, madai aliyoyakanusha.

Moise Katumbi Chapwe, kiongozi wa upinzani Kongo
Picha: Getty Images/F. Scoppa

[No title]

This browser does not support the audio element.

DW imezungumza na mwenyekiti wa chama kimojawapo cha upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, muungano kwa ajili ya hali ya kuaminiana kitaifa, Justin Bitakwira, kutaka kujua upande wa upinzani unaitathmini vipi hali nchini humo.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW