1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kenya katika tahadhari kuhusu ebola

01:37

This browser does not support the video element.

17 Juni 2019

Kenya iko katika tahadhari kuhusu uwezekano wa mripuko wa ugonjwa wa ebola nchini humo, baada ya mwanamke mmoja kuonyesha dalili za ugonjwa huo. Uchunguzi unafanywa kuthibitisha au kuondoa hofu kutokana na ugonjwa huo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW