Kenya: Mwanasiasa auwawa Kisumu
30 Oktoba 2012Matangazo
Mwanasiasa huyo maarufu katika eneo hilo la Kisumu Magharibi alipigwa risasi na watu wasiojulikana alipokuwa katika gari lake pamoja na mkewe ambaye kwa sasa anapata matibabu katika hospitali moja mjini humo.Kujua zaidi hali ilivyo mjini Kisumu Amina Abubakar amezungumza na mwandishi habari mmoja katika eneo hilo Maureen Akinyi.
(Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Amina Abubakar
Mhariri: Yusuf Saumu