1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kenya: Chama cha ODM hatarini kusambaratika

12 Julai 2016

Chama kikuu cha upinzani Kenya, Orange Democratic Movement, kiko kwenye hatari ya kugawanyika, mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu. Mchambuzi Chacha Nyaigotti azungumzia viongozi wanaokikimbia chama.

Raila Odinga, kiongozi wa upinzani Kenya
Picha: Till Muellenmeister/AFP/Getty Images

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW