Kenya: Wakaazi wa bonde la mto wa Nairobi wahamishwa
29 Julai 2009Matangazo
Hadi watu 127,000 wako katika hatari ya kulazimishwa kuhama kutoka vibanda vyao wanamoishi na kufanya biashara. Othman Miraji alizungumza na Hassan Omar Hassan Kamishna katika tume ya Taifa ya Haki za Binadamu nchini Kenya, vipi anavyoitathmini hatua hiyo ya polisi. Mwandishi: Othman Miraji Mhariri: Mohamed Abdulrahman