Kenya yaelekea wapi?
26 Juni 2014Matangazo
Katika kipindi hiki cha Maoni Mbele ya Meza ya Duara, Mohammed Khelef anaongoza mjadala unaomulika uwezekano wa mdahalo wa kisiasa katika taifa hilo la mashariki ya Afrika, na uwezekano wa mdahalo huo kuokoa hali isielekee kubaya zaidi.
Washiriki wa mjadala huu ni Tom Odhiambo, Koigi Wamwere, Ezekieh Gikambi na Aden Mwachu. Kusikiliza makala nzima, bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mhariri: Mohamed Abdul-Rahman