1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kesi dhidi ya Philomena Mwilu yasitishwa Kenya

29 Agosti 2018

Mahakama kuu nchini Kenya imesitisha kwa muda kesi dhidi ya Naibu Jaji Mkuu Philomena Mwilu aliyekabiliwa na tuhuma za ufisadi, ikisema kuna masuala yan kikatiba yanayohitaji kutathminiwa kwanza.

Philomena Mwilu
Picha: Getty Images/AFP/Y. Chiba

MMT_J3:29.08.2018- Kenya DCJ case drama (Interview) - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW