TanzaniaKesi dhidi ya Tundu Lissu yaahirishwa02:48This browser does not support the video element.TanzaniaYakub Talib19.05.202519 Mei 2025Lissu atafikishwa tena mahakamani June 2 kwa ajili ya kusikiliza shauri lake dhidi ya uhaini. Haya yanajiri mnamo wakati chama chake cha Chadema kikikumbwa na mgogoro wa ndani pamoja na kuhama hama kwa wanachama.Nakili kiunganishiMatangazo