1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kesi dhidi ya Tundu Lissu yaahirishwa

02:48

This browser does not support the video element.

19 Mei 2025

Lissu atafikishwa tena mahakamani June 2 kwa ajili ya kusikiliza shauri lake dhidi ya uhaini. Haya yanajiri mnamo wakati chama chake cha Chadema kikikumbwa na mgogoro wa ndani pamoja na kuhama hama kwa wanachama.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW