Kesi ya aliyekuwa makamu wa rais wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Jean Pierre Bemba, inaanza leo katika mahakama ya kimataifa ya ICC huko Hague, Uholanzi.
Kesi ya Jean Pierre Bemba yasikilizwa leo The HaguePicha: AP Photo
Matangazo
Nchini Kongo kesi hiyo inafuatiliwa kwa hamu, kama mwandishi wetu kutoka Kinshasa, Salehe Mwanamilongo, anavyotuarifu,