SiasaAfrikaKesi ya Lissu yaahirishwa tena Tanzania02:41This browser does not support the video element.SiasaAfrika16.07.202516 Julai 2025Huko nchini Tanzania, mvutano wa kisheria umeibuka Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, baada ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, kupinga kesi yake kuahirishwa kwa mara nyingine akisema amekaa kwa siku 97 mahabusu.Nakili kiunganishiMatangazo