1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kesi ya Lissu yaahirishwa tena Tanzania

02:41

This browser does not support the video element.

16 Julai 2025

Huko nchini Tanzania, mvutano wa kisheria umeibuka Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, baada ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, kupinga kesi yake kuahirishwa kwa mara nyingine akisema amekaa kwa siku 97 mahabusu.

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW