Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania, Tundu Lissu, aliyerudi nchini mwake baada ya kukaa nje, alitarajiwa mahakamani Dar es Salaam kujibu mashtaka yanayomkabili. Hata hivyo, kusikiliza kesi kumeahirishwa hadi Agosti.
Picha: DW/S. Khamis
Matangazo
Mahojiano na wakili Peter Kibatala
This browser does not support the audio element.
DW imezungumza na na wakili wa Tundu Lissu, Peter Kibatala, na kwanza kumtaka afahamishe kuhusu mashtaka hayo yanayomkabili Bwana Lissu.