Khamenei aagiza kuendelea kufungwa kwa Mlango Bahari, Hormuz
12 Machi 2026
Matangazo
Khamenei, ambaye inadaiwa alijeruhiwa katika shambulizi la anga, bado hajaonekana hadharani tangu kuteuliwa kwake Jumapili iliyopita kama kiongozi mkuu, na ujumbe wake ulisomwa kupitia televisheni ya kitaifa.
Khamenei pia ametaka mataifa ya ghuba kufunga kambi za kijeshi za Marekani.
Ameongeza kuwa kiasi kidogo cha kisasi cha Iran kwa mashambulizi ya Marekani na Israel kimechukuwa mweleko thabiti lakini kwamba hadi kitakapotekelezwa kikamilifu, suala hilo litasalia kuwa miongoni mwa vipaumbele vyao.