1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Khartoum. Chad yakabiliwa na maafa iwapo wakimbizi kutoka Darfur wataendelea kwenda huko.

23 Desemba 2006

Kamishna wa umoja wa mataifa wa haki za binadamu ameonya kutokea maafa ya kibinadamu nchini Chad iwapo wakimbizi kutoka katika jimbo la jirani la Darfur nchini Sudan wataendelea kukimbili nchini humo.

Ziara ya kamishna huyo inakuja wakati serikali ya Sudan inatoa ishara kuwa huenda ikakubaliana na uwekaji wa jeshi la umoja wa mataifa la kulinda amani katika jimbo la Darfur. Kamishna Antonio Gueterres amesema kuwa anaikaribisha hatua hiyo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW