1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

KHARTOUM: Katibu Mkuu Ban Ki-Moon ziarani Sudan

4 Septemba 2007

Kiongozi wa Umoja wa Mataifa,Ban Ki-Moon amewasili nchini Sudan kwa ziara yake ya kwanza nchini humo kama Katibu Mkuu.Ni matumaini yake kuwa atasaidia kupata suluhisho kwa mgogoro wa Darfur,unaosemekana kuwa umesababisha vifo vya watu wapatao 200,000.

Azma ya ziara ya Ban Ki-Moon ni kuweka msingi wa majadiliano yanayotazamiwa kufanywa mwezi wa Oktoba,kati ya serikali ya Khartoum na viongozi wa makundi darzeni kadhaa ya waasi katika kanda hiyo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW