1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

KHARTOUM: Wanavijiji washambuliwa katika jimbo la Darfur magharibi ya Sudan

3 Oktoba 2006

Watu wenye silaha kutoka chama cha waasi cha vuguvugu la ukombozi wa Sudan SLM ama Sudan Liberation Movement, wamekuwa wakivishambulia vijiji katika jimbo la Darfur magharibi mwa Sudan. Mashambulizi hayo dhidi ya wanavijiji, ni kufuatia mapigano na kundi jingine la waasi katika eneo hilo. Umoja wa Afrika umesema kuwa kwa uchache watu 11 waliuawa katika mapigano hayo katika kijiji cha Gereida ambako kunapatikana pia kambi kubwa ya wakimbizi wapatao 130,000.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW